Chakula halisi na kisicho na mbwembwe:Chakula wanachokula washindi wa mashindano ya Olimpiki

Riadha ni mchezo muhimu katika mashindano ya Olimpiki tangu kuanza kwa mashindano hayo mwaka 1898. Walianza kukimbia kwa kasi ya kilomita 42.2 na yalikuwa mashindano magumu ambayo yaliwataka wanariadha kutumia nguvu kubwa sana. Lakini nguvu kubwa kiasi gani? Na katika karne hii ambapo michezo imeboreshwa kwa sayansi na virutubisho, ni chakula gani kinachotumiwa na wachezaji nyota? Hebu tuone jinsi wanariadha wawili nyota ambao wanavunja rekodi ya wanawake na wanaume ,Eliud Kipchoge na Brigid Kosgei ambao wote wanatoka Kenya. Tumekutana nao wakati wakijinoa kwa ajili ya mashindano yatakayofanyika Tokyo na kuchunguza wanachokula?

Katika hii stori bonyeza uone baadhi ya vyakula muhimu ambavyo vinawasaidia Brigid na Eliud kumaliza mashindano kwa ushindi.

Kikombe kimoja cha chai chenye vijiko vitatu vya sukari

Riadha ni mchezo ambao unafanya mtu atoe jasho sana, hivyo tuanze kwa kunywa maji kidogo.Na hii ni Kenya ambapo kuna baridi ,hivyo chai ndio chaguo sahihi.Unapoongeza sukari utawapa wanariadha nguvu ya kuanza kukimbia.

tamu ndio inayopendwa sana na wanariadha wengi wa Kenya.Utafiti mmoja ulibaini kuwa sukari huongeza wanga katika mlo wao kamili.

Inashangaza ,baadhi ya wanariadha huwa wanakunywa chai zaidi ya maji kwenye mazoezi. Mwanariadha anaweza kunywa vikombe vitano kabla ya kuanza mazoezi

Vikombe vitano vya chai

Vijiko kumi na tano vya sukari vinaweza kuwa vijiko vingi sana , lakini bado kuna safari ndefu

Ni wakati kuwapatia wanariadha wetu chakula kizuri

1. Kula ugali

Chagua la kwanza ni mlo wa .Wengi wanapendelea kula ugali - chakula kinachotumika sana Afrika Mashariki.Ugali hupikwa kutokana na unga wa mahindi na hupikwa kama uji

Inawezekana kuwa chakula cha kawaida lakini wanariadha wa mbio ndefu wa Kenya wanahuhitaji ili kuongeza nguvu wakati wa mashindano.

Mjini Tokyo,hakuna chakula cha namna hiyo.Brigid anasema katika mataifa mengine hakuna ugali kama walivyozoea Kenya hivyo inawabidi wale wali, tambi au kuku na samaki.

Lakini tubaki kwenye mlo kamili kwanza, na kama sahani moja haitoshi inabidi kuongeza sahami ya pili

Sahani mbili za ugali

Ugali ni mzuri lakini bado kuna nguvu ya ziada inatumika

Kwanza huwezi kula ugali peke yake, lazima uwe na chakula kingine kwenye mlo wako

1.kula nyama

Nyama huwa inasaidia lakini tunaingia kwenye hatua nyingine

Na ikiwa nyama inaweza kuwa chanzo cha protini, wanariadha wengi wa Kenya wanapata protini hizo kutoka kwa maziwa na maharage. Hebu tuviongeze hivyo katika chakula chetu

Vikombe 2 vya maziwa

Maziwa ni muhimu sana ,hutumika kutengenezea ambapo inawekwa na viungo vingine vya chai. Hivyobasi tunawapa wanariadha wetu vikombe viwili vya chai ya maziwa yenye tangawizi.

Eliud anapenda maziwa yaliyochachuliwa kiasili. Mursik! ni Maziwa ya mgando. Ni muhimu kwa wanamichezo. Unapokunywa yanaongeza kasi ya kusaga chakula mwilini , anasema.

Maharage

Kwa upande wa maharage, maharage yanaweza kulika vizuri na ugali. Na huongeza idadi ya kalori zetu mwilini kwa 120 .Usiamini bado tuna upungufu ! leteni viazi pia

Wanariadha maarufu wa Kenya huwa wanakula wali, viazi na mikate. Yyakula hivyo kwa mfano huwapatia robo ya kalori zinazohitajika. Lengo ni kuwapatia nguvu wanariadha wakati wa mashindano.

Sahani mbili za wali, na sahani moja ya viazi vya kuchemshwa

Hebu tuone tutakachopata kutoka kwa sahani mbili za wali na sahani moja ya viazi vitamu vya kuchemshwa

Je hicho kinaweza kumpatia nguvu za kutosha mshindi wetu wa kike katika mashindano?Ndio

Brigid Kosgei amefika utepeni!

Brigid alitumia takribani kalori 1,666 wakati aliposhinda mbio za Marathon za Chicago

Yaani aliweza kutumia saa 2 na dakika 14 tu kumaliza mashindano.

Na sasa turudi kwa Eliud Kipchoge.Yeye ni mzito na mkimbiaji wa kasi zaidi ya Brigid, hivyobasi anahitaji nguvu zaidi ili kuweza kumaliza mbio hizo.

Tumpongeze kwa kumuwekea viungo katika chakula kupitia kumuwekea mayai ya kukaanga, kabeji na mboga za majani.

Mayai mawili ya kuchemsha, sahani moja ya managu,sahani ya sukuma, na sahani moja ya kabeji ya kuchemsha sawa na kalori 260

Na sasa tunafikia hatua nyingine.Tukiwa na mayai mawili na mchanganyiko wa mboga tumefanikiwa kurudisha kalori 260 kwa Eliud

Viungo muhimu hapa ni mboga zinazopatikana eneo hili. Tukianzia na Spinachi inayochanganywa na viungo vingine

Pia kuna wiki ambayo inafanana na Kale na ni maarufu Afrika Mashariki

"Huwa hatununui mboga kutoka dukani. Vitu tunavyopanda katika eneo hili ni Spinachi na kabeji. Kwasababu ardhi yetu ina virutubisho na hatutumii kemikali", Brigid aliambia BBC

Karibu tunamaliza! Labda tutahitaji snaki baada ya kumaliza kula

Ndizi 1

kama mtu mwengine yeyote , hata wanariadha maarufu uhitaji Snaki . Na kinachotumika sana ni matunda.

"Mimi haswa huwa napendelea kuwa na matunda tofauti tofauti" Brigid anasema " labda leo nile ndizi, kesho nile tikiti maji, siku inayofuata chungwa na baada ya hapo maembe".

Alisema anapenda pia kunywa soda

Kwasasa tusalie kwenye upande wa kiafya, anakula ndizi yenye uzito wa kalori 100

Eliud Kipchoge amemaliza mbio!

Uwanja unasimama na kumshangilia! Hatimaye tumefikisha kalori 2322, idadi ya nguvu ambazo Eliud alipoteza wakati alipovunja rekodi mpya 2018.

Na alitumia chakula alichoshauriwa cha wastani wa kalori 2500 na kuweza kushinda kwa saa 2 dakika moja na sekunde 39

Tazama ili kuona anavyojipatia kalori zote hizo pamoja na carbohydrates

Mambo muhimu

Wote Eliud Kipchoge na Brigid Kosgei wanashiriki katika mashindano makubwa ya Tokyo mwaka 2020.

Wanariadha kutoka Afrika Mashariki wametawala mbio za Marathon katika mashindano ya Olimpiki katika miaka ya hivi karibuni. Masuala kama vile miili yao na mazoezi wanayofanya katika maeneo ya juu katika eneo la bonde la Ufa huchangia pakubwa ushindi wao pamoja na chakula wanachokula

Eliud alituambia, mlo kamili ndio nguzo kwa wanariadha katika kujenga tasnia yao.Inabidi ufanye kazi kwa mikono yako kwa kila kitu ili uweze kupata nguvu ya kushindana na kushinda.

Duniani ambapo wachezaji wazuri wanategemea sayansi ya chakula na virutubisho, ni muhimu kukumbuka kula vyakula asili na visivyokuwa na mchanganyiko mwingi.

Chai

Kikombe kimoja cha chai chenye vijiko vitatu vya sukari

Riadha ni mchezo ambao unafanya mtu atoe jasho sana, hivyo tuanze kwa kunywa maji kidogo.Na hii ni Kenya ambapo kuna baridi ,hivyo chai ndio chaguo sahihi.Unapoongeza sukari utawapa wanariadha nguvu ya kuanza kukimbia.

tamu ndio inayopendwa sana na wanariadha wengi wa Kenya.Utafiti mmoja ulibaini kuwa sukari huongeza wanga katika mlo wao kamili.

Inashangaza ,baadhi ya wanariadha huwa wanakunywa chai zaidi ya maji kwenye mazoezi. Mwanariadha anaweza kunywa vikombe vitano kabla ya kuanza mazoezi

Chai Chai Chai Chai Chai

Vikombe vitano vya chai

Vijiko kumi na tano vya sukari vinaweza kuwa vijiko vingi sana , lakini bado kuna safari ndefu

Ni wakati kuwapatia wanariadha wetu chakula kizuri

Ugali

1. Kula ugali

Chagua la kwanza ni mlo wa .Wengi wanapendelea kula ugali - chakula kinachotumika sana Afrika Mashariki.Ugali hupikwa kutokana na unga wa mahindi na hupikwa kama uji

Inawezekana kuwa chakula cha kawaida lakini wanariadha wa mbio ndefu wa Kenya wanahuhitaji ili kuongeza nguvu wakati wa mashindano.

Mjini Tokyo,hakuna chakula cha namna hiyo.Brigid anasema katika mataifa mengine hakuna ugali kama walivyozoea Kenya hivyo inawabidi wale wali, tambi au kuku na samaki.

Lakini tubaki kwenye mlo kamili kwanza, na kama sahani moja haitoshi inabidi kuongeza sahami ya pili

Ugali Ugali

Sahani mbili za ugali

Ugali ni mzuri lakini bado kuna nguvu ya ziada inatumika

Kwanza huwezi kula ugali peke yake, lazima uwe na chakula kingine kwenye mlo wako

Nyama

1.kula nyama

Nyama huwa inasaidia lakini tunaingia kwenye hatua nyingine

Na ikiwa nyama inaweza kuwa chanzo cha protini, wanariadha wengi wa Kenya wanapata protini hizo kutoka kwa maziwa na maharage. Hebu tuviongeze hivyo katika chakula chetu

Maziwa

Vikombe 2 vya maziwa

Maziwa ni muhimu sana ,hutumika kutengenezea ambapo inawekwa na viungo vingine vya chai. Hivyobasi tunawapa wanariadha wetu vikombe viwili vya chai ya maziwa yenye tangawizi.

Eliud anapenda maziwa yaliyochachuliwa kiasili. Mursik! ni Maziwa ya mgando. Ni muhimu kwa wanamichezo. Unapokunywa yanaongeza kasi ya kusaga chakula mwilini , anasema.

Maharage

Maharage

Kwa upande wa maharage, maharage yanaweza kulika vizuri na ugali. Na huongeza idadi ya kalori zetu mwilini kwa 120 .Usiamini bado tuna upungufu ! leteni viazi pia

Wanariadha maarufu wa Kenya huwa wanakula wali, viazi na mikate. Yyakula hivyo kwa mfano huwapatia robo ya kalori zinazohitajika. Lengo ni kuwapatia nguvu wanariadha wakati wa mashindano.

Wali Wali Viazi vitamu

Sahani mbili za wali, na sahani moja ya viazi vya kuchemshwa

Hebu tuone tutakachopata kutoka kwa sahani mbili za wali na sahani moja ya viazi vitamu vya kuchemshwa

Je hicho kinaweza kumpatia nguvu za kutosha mshindi wetu wa kike katika mashindano?Ndio

Brigid Kosgei

Brigid Kosgei amefika utepeni!

Brigid alitumia takribani kalori 1,666 wakati aliposhinda mbio za Marathon za Chicago

Yaani aliweza kutumia saa 2 na dakika 14 tu kumaliza mashindano.

Na sasa turudi kwa Eliud Kipchoge.Yeye ni mzito na mkimbiaji wa kasi zaidi ya Brigid, hivyobasi anahitaji nguvu zaidi ili kuweza kumaliza mbio hizo.

Tumpongeze kwa kumuwekea viungo katika chakula kupitia kumuwekea mayai ya kukaanga, kabeji na mboga za majani.

Mayai ya Kuchemsha Mayai ya Kuchemsha Spinachi Kabeji

Mayai mawili ya kuchemsha, sahani moja ya managu,sahani ya sukuma, na sahani moja ya kabeji ya kuchemsha sawa na kalori 260

Na sasa tunafikia hatua nyingine.Tukiwa na mayai mawili na mchanganyiko wa mboga tumefanikiwa kurudisha kalori 260 kwa Eliud

Viungo muhimu hapa ni mboga zinazopatikana eneo hili. Tukianzia na Spinachi inayochanganywa na viungo vingine

Pia kuna wiki ambayo inafanana na Kale na ni maarufu Afrika Mashariki

"Huwa hatununui mboga kutoka dukani. Vitu tunavyopanda katika eneo hili ni Spinachi na kabeji. Kwasababu ardhi yetu ina virutubisho na hatutumii kemikali", Brigid aliambia BBC

Karibu tunamaliza! Labda tutahitaji snaki baada ya kumaliza kula

Ndizi

Ndizi 1

kama mtu mwengine yeyote , hata wanariadha maarufu uhitaji Snaki . Na kinachotumika sana ni matunda.

"Mimi haswa huwa napendelea kuwa na matunda tofauti tofauti" Brigid anasema " labda leo nile ndizi, kesho nile tikiti maji, siku inayofuata chungwa na baada ya hapo maembe".

Alisema anapenda pia kunywa soda

Kwasasa tusalie kwenye upande wa kiafya, anakula ndizi yenye uzito wa kalori 100

Eliud Kipchoge na Brigid Kosgei wakiwa barabarani

Eliud Kipchoge amemaliza mbio!

Uwanja unasimama na kumshangilia! Hatimaye tumefikisha kalori 2322, idadi ya nguvu ambazo Eliud alipoteza wakati alipovunja rekodi mpya 2018.

Na alitumia chakula alichoshauriwa cha wastani wa kalori 2500 na kuweza kushinda kwa saa 2 dakika moja na sekunde 39

Tazama ili kuona anavyojipatia kalori zote hizo pamoja na carbohydrates

Ndizi Mayai ya Kuchemsha Mayai ya Kuchemsha Spinachi Kabeji Maharage

Mambo muhimu

Wote Eliud Kipchoge na Brigid Kosgei wanashiriki katika mashindano makubwa ya Tokyo mwaka 2020.

Wanariadha kutoka Afrika Mashariki wametawala mbio za Marathon katika mashindano ya Olimpiki katika miaka ya hivi karibuni. Masuala kama vile miili yao na mazoezi wanayofanya katika maeneo ya juu katika eneo la bonde la Ufa huchangia pakubwa ushindi wao pamoja na chakula wanachokula

Eliud alituambia, mlo kamili ndio nguzo kwa wanariadha katika kujenga tasnia yao.Inabidi ufanye kazi kwa mikono yako kwa kila kitu ili uweze kupata nguvu ya kushindana na kushinda.

Duniani ambapo wachezaji wazuri wanategemea sayansi ya chakula na virutubisho, ni muhimu kukumbuka kula vyakula asili na visivyokuwa na mchanganyiko mwingi.